Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Ukikaza wewe Kwa mmeo inatoshayanga kipindi cha pili sidhani kama watakaza tako
Mmejitahidi kwa hatua hii hongereni
Masandakolozdad nyie mliesema mpaka HT yanga atakuwa kaoga nyingiDuh Yaani mpaka Sahz wamestahimili [emoji1787][emoji1787]
Kaa karibu uwe unanipeti peti maana hali yangu sielewi elewiMungu yupo pamoja nasi💚💛🙌
Nyie dakika ya 5 mlikua msha wekwasuala la muda mamelodi kupata goli
Ni kweliBro
Mamelodi hawashindi goli zaidi ya moja
Kama wanashinda[emoji16]
Yanga sijui kama watashinda goli
Naona kama wanataka sare[emoji16]
Sasa tuone mkude ufundi wake wa matuta na mwanyeto
Na job
Bado hamjasema. Kwao kama kwetu. Daima mbele nyuma mwiko.Mmejitahidi kwa hatua hii hongereni
Unaweza funga duka na watu wakabomoa,HT
MSFC 0 YNG 0
So far so good, Yanga wamewaachia Mamelodi wacheze mpira wao wamefunga duka
Kwa shot on target walizonazo Hadi sasa?suala la muda mamelodi kupata goli
Ushangiliaji wenye hamasa ni sauti halisi za watu na sio kelele zisizo za mpangilio za vuvuzela. Kumbuka Hawa ndio waligundua haya madude lakini wamepona ni ujinga. Mashirikisho mengi ya mpira wa miguu duniani wamepiga marufuku huu upuuzi. Bongo unakuta dume Zima linapuliza vuvuzela,Kwa nini unaita ushamba
Haya plan ya first half imefanya kazi, tuone kipindi cha pili
Naona huu ndio plan yaoNgoja kwanza, Au Yanga wanataka kwenda matuta?
Uwezo, Jamaa wana physical strength kubwa kuliko utopolo.Leo pagumu, makosa ni mengi kwa wananchi,Ki anazinguaa.
Mamelod wanatuangusha sana mashabiki zao ila enewei Yanga leo anakufa tuAcha kuleta misukosuko yako mkuu😃😃 Yanga ni moto subiri uone