FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Bro
Mamelodi hawashindi goli zaidi ya moja


Kama wanashinda😁

Yanga sijui kama watashinda goli
Naona kama wanataka sare😁

Sasa tuone mkude ufundi wake wa matuta na mwanyeto
Na job
 
Kwa nini unaita ushamba
Ushangiliaji wenye hamasa ni sauti halisi za watu na sio kelele zisizo za mpangilio za vuvuzela. Kumbuka Hawa ndio waligundua haya madude lakini wamepona ni ujinga. Mashirikisho mengi ya mpira wa miguu duniani wamepiga marufuku huu upuuzi. Bongo unakuta dume Zima linapuliza vuvuzela,
 
Yanga anaenda nusu nimegundua mdiomaana mamelodi hua anatolewa kwenye hizi hatua mara nyingi. Siwazuri kuzifungua timu zinazofunga njia kama waarabu.

Waarabu hua nahatari zaidi kuliko mamelodi hata speed ya mpira Mamelodi wanaubishoo bishoo flani hivi
 
Back
Top Bottom