Kwani mlikua na goalWametuibiaaaaaa goal letu
VAR.... dahGoool. Yanga wamepita. Sasa ishaisha hii. Watabaki nyuma woote.
Refa madako yake na wenzie wa VARRefa anakatwa pvmbavu zake
Var ya kazi Gani sasaHili ni bao ni wazi kabisaaa, Yanga wamenyimwa na wameonewaa.
Kwenye vita vya haki ushindi ni lazima.Goli halali hili,uto wamenyimwa
Mapema tuHawa mamelod wepesi sana,yanga hapa tunashida
Unabishana na VARYanga wamedhulumiwa goli
LipoBado una matumaini?
Wasonge tu kama wanaweza. Hakuna anayemzuia mtu hapo. Wote tuache uwezo uamueSasa unataka Uto wasonge mbele?
Labda kushinda njaaHawa mamelod wepesi sana,yanga hapa tunashida
Tukiweka ushabiki pembeni lile ni bao CocaHili ni bao ni wazi kabisaaa, Yanga wamenyimwa na wameonewaa.