Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nop Hapana TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI YANGA KAIBIWA GOLI....Makolokolo mmoja pekee kati ya wote walio ktk mechi hii unayeonekana Mchawi sababu tu ya chuki kupitiliza dhidi ya Yanga SC.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Watoke kihalali kwa kukandwa si kudhulumiwa.Sasa unataka Uto wasonge mbele?
Time will tellYanga anavuka hii hatua
Save hii comment
Dhulma haijawahi kuishinda haki.
VAR inazidiwa na macho yetuVAR haifanyi kazi Africa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] VAR inaendeshwa na binadamu. Afu pia refa wa kati anaweza amua yeye anataka vipi, na VAR isihusike.Var ya kazi Gani sasa
Nilitaka kuona Yanga inafungwa kwa fair play sio hizi drama za kitoto ambazo tunaziona hapa.Tayari wamebebwa hili ni goli
Mpira wa africa jau sana,hawa Mamelod ni wepesi hawabebekiWamebebwa wazi wazi kabisa.
Huu mpira sasa unakosa radha halisi kabisa
🤕🤕🙄🙄pole, pambaneni mtapata lingine tuWametuibiaaaaaa goal letu