Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwaka juzi tu kwenye mechi na petro walibweba sana nazani hakuna jipyaMasandawana kama Prime Man Utd ya Ferguson, ilikuwa dhuluma sana pale Old Trafford
kaiza na orlando wana lalamika sana kwamba jamaa wana bebwa mno hata kwenye ligi yaoMasandawana kama Prime Man Utd ya Ferguson, ilikuwa dhuluma sana pale Old Trafford
Raha ya mpira uwe fair.Vyovyote vile Uto hawatakiwi wasonge mbele waishie hapahapa
Nakubalikaiza na orlando wana lalamika sana kwamba jamaa wana bebwa mno hata kwenye ligi yao
Guede kioenzi cha gamondi yuko ndaniMusonda anatoka Guede anabaki au?
na mwaka huu hawatahamini maana leo sioni sundwons akichomokaCaf wanatimu zao kumbe hatari
Var Wana option ya kurudia kujiridhisha, kweli hawaoni?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] VAR inaendeshwa na binadamu. Afu pia refa wa kati anaweza amua yeye anataka vipi, na VAR isihusike.
Kwani sio lazimaa.
Jina kubwa lakini hawana kituMuda mwingine tunahofia majina