Ni dugu moya mkuuclement guede mzinze saidoo nauiza awa ni dugu moja?
Kwasababu timu ya sondown ni ya bosi waoSasa Kama umeingia Wote Mbona VAR wametoa hayo majibu??
Naombeni panadol 😪Ila watajaa tu kwenye mfumo tutawabutua jirani
Hakujiamini, lakini bado atakuwa na future nzuri tu huko baadaeMzize anacho hitaji akili yake iconcetrate tuuu....
Amna mtu apaMzize mnatakiwa mumtathmini aisee duh
Anajituma Sana Huyu Jamaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] furaha ya nn sasa? Khaaah
Dogo anajiposition vizuri, ila kumalizia ndio changamoto.Hakujiamini, lakini bado atakuwa na future nzuri tu huko baadae
We Mzee 😂 kunywa biaYeah sio Yanga ila imewahi kutokea ishu kama hiyo pia
Hili liko wazi kabisaa, haipingwiiii.Anajituma Sana Huyu Jamaa..
Simba Hawana mchezaji ambaye anajituma na Ana rate kubwa kama huyu..
Kuna wakati Bora tuseme ukweli Yanga wamesajili Kikosi Bora sana kuliko simba
🤣🤣We Mzee 😂 kunywa bia
Hakawii kutoa bokoUnamtoaje Mwamnyeto