Ndio mpira huo, msimuue kijana bado mdogo tu anatafuta experience na exposure.Mzize ni mbwa
Awe anapiga mjani Mara moja mojaMzize anacho hitaji akili yake iconcetrate tuuu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema tenaa.Sasa nawaelewa simba wanavosemaga wanakufa kiume aise[emoji1430]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu bhana. KhaaahMzize umbo la kichwa chake tu unaonesha hayupo makin...fuatilien wenye vichwa kama mzize...
Labda ndondo cupYANGA WANATINGA NUSU FAINALI [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji111]hongera sana Mtani
MKuu niamini nachokuambia Matuta Masandawana sio wazuri na hawana kipa mwenye Rate ya matuta..Labda ndondo cup
La penati amaLipo
Hapo kwa Ntibazonkiza ndiyo huwa sielewagi kabisa
Ndugu, mpira umedondoka ndani ya nyavu, yaani imevuka huo mstariYANGA MJIFUNZE HAPA KIDOGO
View attachment 2954894View attachment 2954895
ππππππππππMzize umbo la kichwa chake tu unaonesha hayupo makin...fuatilien wenye vichwa kama mzize...