FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Mamelodi kipindi cha kwanza walitumia nguvu kubwa kutafuta matokeo.
Sasa wamechoka.
Yanga mkiendelea kukaza mnapata matokeo
 
Okra na Kibabage wameingizwa kwa sababu ya matuta ✌️✌️✌️👏👏👏👏👏
 
Masandawana huwa wanatolewa hii hatua, sijui wana nuksi ipi km simba vilee.
Yeah na ndiyo maana nilipoona Tu draw nikajua lazma watoke...

Hawana Kipa bora wa Matuta..

Na hawanaga Historia Nzuri kwenye Matuta kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…