Mi sijacheka uumbaji wa Mungu...dhambi umebeba wewe mi sipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu bhana. Khaaah
Kichwa kama RC wa Dar es SalaamMzize umbo la kichwa chake tu unaonesha hayupo makin...fuatilien wenye vichwa kama mzize...
Unacheka uumbaji wa Mungu mi sipo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Panadol ya nini?? Game tunashinda hiiNaombeni panadol 😪
Masandawana huwa wanatolewa hii hatua, sijui wana nuksi ipi km simba vilee.MKuu niamini nachokuambia Matuta Masandawana sio wazuri na hawana kipa mwenye Rate ya matuta..
Yanga tayari wametinga Nusu Fainali
Kwe ye Matuta huyo ndo kazi yake kaaingizwaKibabage mhhhh
[emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa.Mi sijacheka uumbaji wa Mungu...dhambi umebeba wewe mi sipo
ahhahahha sio yule mya wa chugastaniKichwa kama RC wa Dar es Salaam
Wakati mwingine tumieni vizuri uwanja wa nyumbani.
Yeah na ndiyo maana nilipoona Tu draw nikajua lazma watoke...Masandawana huwa wanatolewa hii hatua, sijui wana nuksi ipi km simba vilee.
Wanatolewaa hawa.Yeah na ndiyo maana nilipoona Tu draw nikajua lazma watoke...
Hawana Kipa bora wa Matuta