Nakuja udugu wangu πππUduguu twende kulee bhanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaaa mbali ntakupiga makwenzi nna hasira za kuonewa πππππgoli mmeonewa kweli nakubali.
lakini upande wa pili nafurahi mungetuimba sana wapuuzi
πππππππππHaikuhitaji hata VAR, hili lilikua goli ....πππ
Vumilia tu mjubaMwili umekufa ganzi kwa haya matokeo ila ndio hivyo hakuna namna, Najikaza kiume maisha lazima yaendelee[emoji1666]Asanteni Yanga[emoji120]
Nimefurahiii kukuonaa sana. [emoji8][emoji8]Majukumu yalinibana sana ila kikubwa ni uzima tu
Pesa imecheua hatimaye Masambwanda in, Makolokolo tufurahie maisha Utopolo out na Refa ni Man of the Match 05/04/2024 wa Masambwanda SC [emoji1]Masandawanaaa out!!!
Mark my words,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu ya kwanza kutolewa robo fainali mwaka huu 2024 Ni Yanga.
Tena mnoo.Ni mrefu sana.
Kaamua kuwabeba, sahivi anachekea chooni na bahasha kaweka kwenye kibukta chakeBila hata ya VAR lile ni goli. Refa hakutakiwa kusubiri aambiwe, alitakiwa kwenda kuangalia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Refa ndio mvhxdfhhjj kaniboa nkamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila refa huyu angechezesha zile mechi za kombe la mbuzi, mwisho wa mpira wahuni tungembeba tungezama naye ndichi⦠huku tunamwimbia haiya hiya kuolewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufanye mwenyewe πππππππππππππ
Tufanye ni goli. πππππππ
Shem acha tu!! π€£π€£π€£π€£ππππ
Pole kwa kufa kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule refa anakatwa na majini ya mayele[emoji706][emoji706]
Abeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]We coca
Ilikuwa lazima iwe hivyo. Kuna watu walitaka kutumia matokeo ya Leo kujipaisha kisiasa.Mimi lawama zote Nampa refarii
Ni mpumbavu sana
Njoo kulee bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuja udugu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]