Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamfunda kigwaone kwa vitendo😊😊😊
Tulia bhana udugu, mpira ndo ulivyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanikera hujui tyuuu udugu
Maamuzi yako based na vigezo ambavyo officials na sisi watazamazi tunavijua. So bado ni yaleyaleHata ukioneshwa, wewe ndio mtoa maamuzi!? Wewe ni match official!?
WadauVAR zote. Huwa runaonyeshwa real view ya footage kuonyesha mpira kama ulikuwa ndani wote au nusu au robo tatu. Mbona hii ya Sundown anaangalia refa tu hata sisi wadau hatuonyeshwi?
Lile bus ambalo wamelipaki Lupaso ndo limewagharimu.[emoji81][emoji81][emoji81] asie fanya kazi asile .u pwki bus afu utegemee kushinda
Mzize ndio alitakiwa kuwapiga mdudu akakosa umakini😊Nilichofurahi ni Mamelodi kaingia nusu fainali kwa mgongon wa urais wa mwenye timu ...... Hongera yanga mmeionesha Africakuwa bado hakuna umhimu ww VAR.
Duuh poleee jamani.Sijui ni stress, nimehisi njaa nikarudi zangu kula na wakati nilikula samoja kabisa..
Sikuiti tena Mbumbumbu Mtani [emoji28][emoji119]Lile ni bao wazi kabisaa, shabiki yeyote wa mpira anajua lile ni bao, ila shabiki wa team atasema sio goal.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maiti tyr ishapakiliwa ktk ndege.. kesho mapema tu tunaiokota hapo JNIA tyr kwa kuifukia kama mbwa.
hajawa wakwanza kukosa...Mzize ndio alitakiwa kuwapiga mdudu akakosa umakini😊
Na semi wanayatoa mapema hayo mamelod ya music 😂😂😂😂Tulia bhana udugu, mpira ndo ulivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Well narrated [emoji120]Nilitaka kuona Yanga inafungwa kwa fair play sio hizi drama za kitoto ambazo tunaziona hapa.
Japo Mimi Ni Simba ila dogo kaniumiza Sanaaa..huyu dogo nae anazingua sana
Mtani eeh, Semi final ilikua yenu na mliipambania kwa halali, ila wenye maamuzi wameamua kuwakata.Sikuiti tena Mbumbumbu Mtani [emoji28][emoji119]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko ndo watatolewa mapemaa.Na semi wanayatoa mapema hayo mamelod ya music [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unazungumzia shirikisho ya mwaka gani?Hiyo shirikisho hujawahi kucheza? Umeisha hatua gani?.