Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mna roho ngumu, kesho Tz itakuwa kimya Sana kwa wanasoka.hatimaye bado dakika 57' kabla yale mapigo ya mbio yaende moyo, nishakula zangu kabisa nikashiba, just in case lolote likatokea.!!
Mungu ibariki team yetu pendwa ya Wanachi..!!💛💚💛💚
mchumba hata usijali...hatimaye bado dakika 57' kabla yale mapigo ya mbio yaende moyo, nishakula zangu kabisa nikashiba, just in case lolote likatokea.!!
Mungu ibariki team yetu pendwa ya Wanachi..!!💛💚💛💚
Mtapigwa kama ngoma ya amapiano leo😁hatimaye bado dakika 57' kabla yale mapigo ya mbio yaende moyo, nishakula zangu kabisa nikashiba, just in case lolote likatokea.!!
Mungu ibariki team yetu pendwa ya Wanachi..!!💛💚💛💚
Mbaya zaidi bado tukafungwa! DahHakukuwa na umuhimu wa kuchezesha wachezaji tegemeo kwenye game ya azam