Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Ndio utajua leoivi awa vyura kweli ni mabigwa wa ligi kuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio utajua leoivi awa vyura kweli ni mabigwa wa ligi kuu
Weee siku nyingine usijaribu wifi mashabiki wa Man U ni matapeli sijawahi kuona. Kuna mmoja alinikana katakata na tulikubaliana tuweke dau kubwa… kilichotokea kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Mimi ni the blues damu, Jana nikabet na shabiki mmoja wa maniyu sahii kanirusha hela yangu, sikujua kama mashabiki wa Man U ni matapeli..!!
Tulia wewe Yanga ushindi lazima akitia Goli 1 tu la ugenini amepita hata km ubao unasoma 1-1mim na wew nani atulie apo ulipo tumbo linakungurumu kama digidigi
Tuliza boli mambo taratiiibu,muda upoAziz ki bado ,nzengeli bado hajatulia, nyuma napo dah
Sijui itakuwaje
😂😂😂Weee siku nyingine usijaribu wifi mashabiki wa Man U ni matapeli sijawahi kuona. Kuna mmoja alinikana katakata na tulikubaliana tuweke dau kubwa… kilichotokea kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni aibu hata kuongea
Tatizo yanashambulia sana kwenye goli la Yanga 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] match iko astee astee, tulizanaa.
Mkuu ndio mpira wao huo sio kupanic.Tuendelee kuomba Mungu.Ukienda halftime bila bila watapanic zaidi
SanaBaka ni mtu na nusu!
Kwa kikosi hiki haki wakishinda najitoa out udugu 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu umefikia hukuu? Aaah mie ctaki bhana.