Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sundowns wameshindwa kuwafungua Yanga wamebaki na pos kubwa.Hawajafungwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sundowns wameshindwa kuwafungua Yanga wamebaki na pos kubwa.Hawajafungwa?
Mwendo wa Kushikilia bomba....!Game plan execution vijana wanaifuata vizuri,mwendo wa kushikilia bomba.
Kwanini unaita ushambaUshamba wa mavuvuzela umebaki bongo tuu. South wenyewe wanaimba kwa midomo
Hiyo ndo plan. Au wafunge kwa counterNgoja kwanza, Au Yanga wanataka kwenda matuta?
Labda nusu kijikoYanga anakwenda NUSU
na akija vibaya litamkuta jambo!Kocha wa mamelodi katoka kwa hasira, itakua anaenda kuwafokea 😂😂😂😂
Tunataka kwenda nusu fainaliNgoja kwanza, Au Yanga wanataka kwenda matuta?
Ukikaza wewe Kwa mmeo inatoshayanga kipindi cha pili sidhani kama watakaza tako
ayo sio makosa football skills za mchezaji ndio zimeishia apo huwezi kuta mtu kama Abdelmonem akifanya upuzi kama uwo ata siku mojaHayo makosa beki yoyote anafanya