Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wakapambane mechi dkk 90 naamin hawatotuangusha.Ndio ndio Mkuu.
Kikubwa wachezaji wasibweteke na kudhania tulishamaliza kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakapambane mechi dkk 90 naamin hawatotuangusha.Ndio ndio Mkuu.
Kikubwa wachezaji wasibweteke na kudhania tulishamaliza kazi.
Kabisa Mkuu.Wakapambane mechi dkk 90 naamin hawatotuangusha.
Sare ya ngapi ngapi!!?Watatoka sare! Nimeangalia kwa babu.
Haahahhahaa iko Sawa sema "mwiko" ni Kiswahili cha kale ingekuwa sahivi tungesemaHii ya Nyuma mwiko naonaga sio poa..ingebakia tu daima mbele
Iko poa Kiswahili watu wanakitumia sivyo.Hii ya Nyuma mwiko naonaga sio poa..ingebakia tu daima mbele
Tafsiri yako ni mbaya.Hii ya Nyuma mwiko naonaga sio poa..ingebakia tu daima mbele
Sasa hapo mimi nimeharibu vip kiswahili? Nyuma mwiko..Daima mbele.Tafsiri yako ni mbaya.
Ukisikia mtu yuko nyuma maana yake hana maendeleo yoyote. Ndiyo maana Yanga wakatumia kusema
Nyuma mwiko, yaani hakuna kubaki nyuma .
Acheni kuharibu lugha adhimu ya kiswahili kwa tafsiri zenu uchwara.
Majirani wananakuaga na wenge! hio ndio tofauti yetu na waoUzi umeanzishwa saizi ama kweli watani wamelowa [emoji23][emoji23][emoji23]
uzi ulitakiwa uwe umeanzishwa tangu usiku..
Matokeo ni Yanga 1- 0 Malumo
Cc.Eeh! Wanasemaga usiku wa deni haukawii kukucha na kwetu sisi Timu ya Wananchi ndo tulikuwa tunataka ifike tupate kumalizana na hizi dakika 90 zilizosalia.
Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuweka historia ingine.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Uto mnachonga sana walai, mliambiwa muwe na caution mnapopiga Polimilai...Depotivo la kolozView attachment 2625046
Mwananchi unatetea mwiko wakoTafsiri yako ni mbaya.
Ukisikia mtu yuko nyuma maana yake hana maendeleo yoyote. Ndiyo maana Yanga wakatumia kusema
Nyuma mwiko, yaani hakuna kubaki nyuma .
Acheni kuharibu lugha adhimu ya kiswahili kwa tafsiri zenu uchwara.
😂😂😂Mungu saidia Yanga tusife 2 huko.
Yan tusitolewe.Tumeisubiri fursa hii toka kuumbwa kwa dunia
Hata mimi kimoyomoyo naogopaaa😂😂😂
Nacheka lakini naogopa..!!🤭