Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mwananchi nasimama kuhesabiwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You either win with us or watch us winUto mnachonga sana walai, mliambiwa muwe na caution mnapopiga Polimilai...
First game walivyoshangilia goli la offside la Marumo ndio utapata picha kilichoujaza mioyo yao.Marumo gallants Fc ndiyo furaha ya mwisho ya Wanasimba Sasa ikipigwa na hii sijui itakuwaje??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Basi toeni mwiko.Hii ya Nyuma mwiko naonaga sio poa..ingebakia tu daima mbele
Piga hao malumo piga sana hao mbususu hadi walie yanga 3.malumk 0 FTMarumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania.
Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Hivyo matokeo yoyote ya ushindi kwao, au droo yataivusha Yanga na kuipeleka Yanga katika fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza.
Kila la heri kwa Yanga, Taifa zima tupo nyuma yenu[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Weka kikosi cha leoMarumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania.
Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Hivyo matokeo yoyote ya ushindi kwao, au droo yataivusha Yanga na kuipeleka Yanga katika fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza.
Kila la heri kwa Yanga, Taifa zima tupo nyuma yenu[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]