ππππNaomba uipende Yanga kwanzaπππ
Me ntakupenda baada ya mechi
Aiseeee naomba kaka yetu umtafuteπππmaana atakua anapumulia mashine saiv
Leo shemeji hata paja hagusi. Sio kwa hizi hasira!Sasa hilo ni kombe???
Yanga ikikutana na timu nzuri haitoboi.
Apewe lishangazi kabisa agegedane naloProf Nabi apewe ulinzi
NakaziaProf nabi apewe maua yake
πππππAh mie nilijua tuu mwananchi final anafikanhatari andaa jersey yako tarehe 28 tupo pale taifa. Ni green and yellow
Umetukubali eeh safi wewe ndiye shabiki mstaarabuAh mie nilijua tuu mwananchi final anafikanhatari andaa jersey yako tarehe 28 tupo pale taifa. Ni green and yellow
Sasa hilo ni kombe???
Yanga ikikutana na timu nzuri haitoboi.
πππππHapa ndio utajua umuhimu wa kuwa kama Lenie
Unakuwa huelewi be wala che.
Mambo kama haya yakitokea, unakuwa zako tu hapo na raha zako zingine.
Mpira anasa Carleen π€£π€£π€£
Nikae kwa utulivu nisubiri Halaand anishangazie madevu.
BTW hongereni bana Numbisa ingawa sijaitoa uvunguni mwa moyo ππ
Hilo kombe hamchukui Bana [emoji1787][emoji1787]Kombe tunalo hatuna?
[emoji7][emoji7][emoji169][emoji172][emoji91][emoji172][emoji172]
Yang'aaaaaaaaaaaaaaaπ³π³π³π³π³π³π³π³jamanii jamaniiiπππππ
π€£π€£π€£π€£π€£Wale mikia wenzangu tunahamia kushangilia timu gani baada ya hapa. πππ
Kila siku nashauri tff imchukue prof. Nabi awe kocha wa taifa starsProf Nabi apewe ulinzi
ππππ wakishua leo utaambulia maumivu kila kona kama namuona Benzema akitupigia mtu za kutosha
Sijui mtaingia kichaka gani tunavyonyanyua makwapaπHilo kombe hamchukui Bana [emoji1787][emoji1787]