Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Umeona matokeo lakini😂😂😂😂
Sa itakuaje😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona matokeo lakini😂😂😂😂
Nakazia[emoji16]Maumivu yakizidi mkaone madakitareeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watupe kombe letu mapema sanaNa tumeitendea haki
Asante sanaYanga wanaingiiiaaaaaa Fainali kwa mara ya kwanza.
Hao jamaa madishi yameyumba mkuu 🤣mmehamia huku tena
Imeisha hiyo auntie[emoji16][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]Yanga bingwa wa Africa.
Apewe poleee ..comment yake yatia huruma😂😂😂Hapo roho inakuuma hadi unatamani kulia[emoji3][emoji3][emoji3]
Sisi ndo wananchiImeisha hiyo auntie[emoji16][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Na yule wa kujinyonga asisahaulikeWa kugawa mke asisahaulike
We kalumanzira upoNatamani wabondwe huko mpaka engineer na Gsm wapoteane huko south mana wanavihelehele Sana...Sasa kilichowapeleka huko wote hao nini? Pamoja na Simba kucheza club bingwa sikuona Mo anaenda Morocco ila hawa sasa du, kweli maskini akipata matako hayaachi kugongana!
Kwa lipi alilofanya?Feisal naye ana medali yake
MINOCYCLINE huyoWa kugawa mke asisahaulike
Kwahiyo;Mimi sio Yanga Wala Simba ila nashabikia Timu zetu kwenye mashindano ya Nje..
Nasema hivi Yanga bila Mayele hao wengine ni furushi la magimbi hamna kitu
Sio nchi tu bali dhamana kwa ukanda wote wa CECAFAYanga tumebeba dhamana ya nchi[emoji91][emoji91][emoji91]