Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tupo na vumbi letu, festi eleven hadi sabu..!!Wa kugawa mke asisahaulike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo na vumbi letu, festi eleven hadi sabu..!!Wa kugawa mke asisahaulike
Yanga bingwa wa Africa.
Baambieee baelewe...😂😂😂😂eti ooh kushuka daraja....inahuu 😂😂😂😂😂embu watuwacheeeee fantaaazniwakumbushe tu hawa marumo pamoja na rivers kabla hawajacheza na yanga walikua hawajapoteza mchezo hata mmoja kwenye aridhi zao ila mwanaume kaja kawatoa bikra tena kwao
Haya walete marumo wenyeweMna uhakika hao mliocheza nao ni Marumo kweli isije ikawa Jet Rumo
Yanga tupelekwe EPL tu.Sio nchi tu bali dhamana kwa ukanda wote wa CECAFA
Ni utabiri au taarifa?Asec atafika finals keep my words
Utakufa ww umebinuka basi..unatuambiaje tutakufa kisa mpira tuu??We ChoiceVariable utakufa kwa kihoro..!! Wewe na mwenzio Kalpana, GENTAMYCINE et el mtakufa wima wallah..!! Hivi huyo Mayele ni mchezaji wa makolo?
Inashangaza sanaHii nchi inashangaza, yaani Msukuma na Babu Tale ni madokta ila sio Fiston Mayele