Umeona matokeo lakini๐๐๐๐
Nakazia[emoji16]Maumivu yakizidi mkaone madakitareeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watupe kombe letu mapema sanaNa tumeitendea haki
Asante sanaYanga wanaingiiiaaaaaa Fainali kwa mara ya kwanza.
Hao jamaa madishi yameyumba mkuu ๐คฃmmehamia huku tena
Imeisha hiyo auntie[emoji16][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]Yanga bingwa wa Africa.
Apewe poleee ..comment yake yatia huruma๐๐๐Hapo roho inakuuma hadi unatamani kulia[emoji3][emoji3][emoji3]
Sisi ndo wananchiImeisha hiyo auntie[emoji16][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Na yule wa kujinyonga asisahaulikeWa kugawa mke asisahaulike
We kalumanzira upoNatamani wabondwe huko mpaka engineer na Gsm wapoteane huko south mana wanavihelehele Sana...Sasa kilichowapeleka huko wote hao nini? Pamoja na Simba kucheza club bingwa sikuona Mo anaenda Morocco ila hawa sasa du, kweli maskini akipata matako hayaachi kugongana!
Kwa lipi alilofanya?Feisal naye ana medali yake
MINOCYCLINE huyoWa kugawa mke asisahaulike
Kwahiyo;Mimi sio Yanga Wala Simba ila nashabikia Timu zetu kwenye mashindano ya Nje..
Nasema hivi Yanga bila Mayele hao wengine ni furushi la magimbi hamna kitu
Sio nchi tu bali dhamana kwa ukanda wote wa CECAFAYanga tumebeba dhamana ya nchi[emoji91][emoji91][emoji91]