Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani Tena wanaweza kufika final ya club bingwa wewe subiri utaonaHuu mwaka msipofika fainali msije mkadhani mtapata zari tena
Sio rahisiMwakani Tena wanaweza kufika final ya club bingwa wewe subiri utaona
Hakuna haja ya kutafuta magoli kama una nafasi ya kulinda ushindi ulio nao.Yanga naona wameamua kwenda na safety kwanza,4-4-1-1
Ndoto za AlinachaMarrumo Gallants...funga midomo
acha roho mbaya, umbwaa..!!Natamani wabondwe huko mpaka engineer na Gsm wapoteane huko south mana wanavihelehele Sana...Sasa kilichowapeleka huko wote hao nini? Pamoja na Simba kucheza club bingwa sikuona Mo anaenda Morocco ila hawa sasa du, kweli maskini akipata matako hayaachi kugongana!
Yamekuwa hayo tena?nyie si bado mna zari lenu la robo fainali kwa miaka 4 sasaHuu mwaka msipofika fainali msije mkadhani mtapata zari tena
Inawezekana.Sio rahisi
Uto kula Chuma iko
Kuna watu wanatamani kulia kwa hizi takwimu🤣
Wanayanga tuliangalie hiliHaahahhahaa iko Sawa sema "mwiko" ni Kiswahili cha kale ingekuwa sahivi tungesema
Daima mbele haturudi nyuma