Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ipo doroo na vibonde wenuLeo yanga anacheza na gallants na simba.....
Mpira siku zote huenda na bahati. Msimu huu yanga yupo vzr pia ana bahati. Simba mwenzangu sie tujipange tu kwa msimu mwingine aisee. Japo inaumaaa lkn ni tuwapongeze tu wananchi sbb wanestahiki kufika hapaNa maisha haya matamu namwachia nani??
Nyie kubalini Mungu alikua upande wenu si kwa kundi hili bovu
Mechi inachezwa yanga na marumo wanasemwa Simba[emoji23]Leo yanga anacheza na gallants na simba.....
Goli 4Kwa hyo hao Malumo wanahitaji kumfunga Yanga Goli ili apite
Hii ilikuwa wazi. Yanga kwenda fainali.
Tunaoteseka ni sisi Simba na Leah wetu.
BOmu mochwari
Wale ni wachambuzi sio wachungaji kwa hiyo sio kazi yao kufanya maombi.Hivi huwa mnawalipa hawa wachambuzi kuisakama yanga? Yaani asilimia 80 ya wachambuzi huwa wapo negative na yanga,yaani hawajawahi kuwaombea mazuri hata ile ya kinafki,
Mimi nahis kuna mlungula huwa mnawaandalia maana haiwezekani mtu anashindwa hata kuact unafki yeye ni chuki tu ya waziwazi
Hukufi mama nitakulindaNikifa mtakosa uhondo
Hapo kwny bahati nakupa likes milion mkuuMpira siku zote huenda na bahati. Msimu huu yanga yupo vzr pia ana bahati. Simba mwenzangu sie tujipange tu kwa msimu mwingine aisee. Japo inaumaaa lkn ni tuwapongeze tu wananchi sbb wanestahiki kufika hapa