FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

Huyi geoff lea alikurupuka tu, mm tng mech ile ya kwanza nilisema yanga anaenda fainali yn hta akifungwa sbb nilijua kbs fowad za yanga lzm wafunge goli hta moja. Yn kwa jicho la kimpira unaona kbs yanga km anaenda fainali ila aliamua tu kuropoka
Naikumbuka comment yako vizuri sana,ulisema ndio yanga lazima wapate goli...

Geoff lea ni mchambuzi mzoefu kidogo lakini nimeshangaa hapa alivyojitoa akili thus why nkasema hawa si bure kuna milungura ya propaganda inatoka,maana kwa Mudy lolote linawezekana kazoea sana propaganda
 
Sijaona Cha kushangilia hapa hawa malumo sawa Moro kids hakuna timu hapo
kweli mkuu
ila wenye timu kubwa hawajawahi fika alipo fika malumo

wenye timu kubwa wameshindwa nyanyua ubingwa mbele ya yanga
 
Aliongea bila kufikiria kisawa sawa. Nilikataa kauli yake. Ulikuwa ni upuuzi na kutafuta attention..
badala ya kupata attention atapata aibu na kwa domo la manara itachukua muda kuonekana mchambuzi wa maana
 
Back
Top Bottom