Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha.Tunahakikisha hamuweki Mb ili mpotee mitandaoni mpaka mwakani
Tuna kazi nyingi, kwanza kuna mambo ya kariakoo hayapo sawa hatuwezi poteza muda mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Tunahakikisha hamuweki Mb ili mpotee mitandaoni mpaka mwakani
Faysal walimdanganya sana, sahivi angekuwa sehemu ya Historia hii nzuri!
Hao ni wachambuzi wa mchongo hao[emoji23]Wachambuzi feki:Yanga watafungwa 3-0!! Nye nye nye!
Kapokea mpira akiwa kwenye nusu yakeMbona kama offside
Atakuwa anajuta ila hamna namna ameamua kusimamia msimamo wake kijana wa zeenji[emoji16]Faysal walimdanganya sana, sahivi angekuwa sehemu ya Historia hii nzuri!
Bado mechi haijaisha mkuuIla mpunguze mdomo mnakutana na asec mimosa fainali huwa hawapendi kelele. Mi tahadhari tu nawapa.
Anabakia huko... As if amekua nguo sokon kila mtu anajichagulia mwenyewe bila utaratibuDefinitely Tanzania tunapita ,but why tunapoteza nafasi to kill the game, worried Mayele atabakia SA (kaizer chief)
Hii itupe funzo kubwa kwenye Maisha...Faysal walimdanganya sana, sahivi angekuwa sehemu ya Historia hii nzuri!
Hii kitu nmeahangaa sanaMechi inachezwa South, pamoja na mashabiki kurtakiwa kuingia bila kutoa kiingilio bado Mashabiki wa Yanga ndiyo wengi kuliko Marumo
Mkuu achana nao hawa. Huwezi wanyong'onyesha furaha yao.Yanga route View attachment 2625562
Huyo Leah ndio mke wa Mo au?Hii ilikuwa wazi. Yanga kwenda fainali.
Tunaoteseka ni sisi Simba na Leah wetu.
Kabisa Mkuu.Oya we sio poa, hawa yanga wana balaa season hii