Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
Ilianza na club africaine pale tunisia leo mnasema ASEC hata 3 za geof leah hamjamalizaIla mpunguze mdomo mnakutana na asec mimosa fainali huwa hawapendi kelele. Mi tahadhari tu nawapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilianza na club africaine pale tunisia leo mnasema ASEC hata 3 za geof leah hamjamalizaIla mpunguze mdomo mnakutana na asec mimosa fainali huwa hawapendi kelele. Mi tahadhari tu nawapa.
Tangulieni huko kwa AsecIla mpunguze mdomo mnakutana na asec mimosa fainali huwa hawapendi kelele. Mi tahadhari tu nawapa.
Mchambuzi maandazi, alisema Yanga atafungwa 3-0Huyo Leah ndio mke wa Mo au?
[emoji23][emoji23]
TuliaaaaaaNauliza tena baadae ipi Teko Modise
Duuh!!Namba yake ninayo mkuu ila uwe na mpunga. Huyu mtoto ukiwa na mpunga unamla vizuri tu.
PoleeeMechi haina ladha
Hana budi kuchuchumaaAmijei ameyakanyaga!! ameingia cha kike waaa!! Cha kike waaa!!
Kwani nafanya nini? Punguza shoboUlieleta uzi unatakiwa kulsta update za live; sio kukimbilia kufungua uzi na ....
Tayari washakula chumaKivumbi leo🟡🟢🟡🟢🟢
Tatizo hao ni wachambuzi wapenda Kiki. Wanatengeneza story ili wazungumzweMwanangu Jeff Leah sijui hali ipoje huko
BOmu mochwariYanga route View attachment 2625562
Wa CAFCCL na NBC Premier league
Tulitarajia kukutana ushindani kuanzia kwa mashabiki wao. Hii hali imetupatia Morali sana Yanga k8asi cha kujiona hii mechi ni kama vile tunaicheza pale Avic TownHii kitu nmeahangaa sana
Naikumbuka comment yako vizuri sana,ulisema ndio yanga lazima wapate goli...Huyi geoff lea alikurupuka tu, mm tng mech ile ya kwanza nilisema yanga anaenda fainali yn hta akifungwa sbb nilijua kbs fowad za yanga lzm wafunge goli hta moja. Yn kwa jicho la kimpira unaona kbs yanga km anaenda fainali ila aliamua tu kuropoka