50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,088
- 4,059
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tunajificha kwenye kichaka cha club bingwa, kumbuka hii ni shirikisho mkuu. Bdo hamjaingia makundi club bingwa 😂😂Vichaka vya kujificha wale jamaa vimefyekwa vyote sijui watajificha kwenye kichaka kipi tena🟡🟢
Kwani ana dildoMmhh huyu Evelyn Salt usimuamin sana...kwa itikadi zake anaweza akakugeuzia kibao akupelekee moto wewe na mishangazi yakoo😆😆😆
Mtani ongeza kunywa maji 🤣🤣🤣🤣Kwa lipi? Kwa kupiga timubovu?? ...hebu tulizeni akili 😀 😀
Mi maji sinywi nakunywa uji muda huu kwa hasiraa aaahghhhhhMtani ongeza kunywa maji 🤣🤣🤣🤣
VIVAAAAAAAA😂😂😂😂😂😂😂Sina cha kuongea, nimezidiwa na furaha.
Viva WANANCHI.
[emoji91][emoji8]Mi maji sinywi nakunywa uji muda huu kwa hasiraa aaahghhhhh
Taifa la Tanzania limechezewa sana na maharamia/mafisadi kwenye nyanja ya Mpira wacha wanaume tupambanie heshima yetu[emoji16]Sema weweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hatuendi kazini kabisaaaa. Kesho ni sikukuu kama sikukuu zingineWoyooooooooooooo
Yanga kesho kuamka saa ngapi?
Kwakweli, wawakilishi pekee wa nchi katika ubora wetu.Kesho iwe holiday[emoji23][emoji169][emoji172]kwan kunalo nen wawakilishi wa taifa wamefanya vyema
mmehamia huku tenaYanga bila Mayele ni furushi na loosers kama Marumo wa Msimbazi
AhsanteeeeeeeeeTaifa la Tanzania limechezewa sana na maharamia/mafisadi kwenye nyanja ya Mpira wacha wanaume tupambanie heshima yetu[emoji16]
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Umeona eeehh🤣🤣🤣🤣🤣Yanga tumebeba dhamana ya nchi[emoji91][emoji91][emoji91]