Ila hii hatupoteziUongozi wa Club unatufelisha sana, matokeo ya hapa tutayopata iwapo tutashinda yatawafanya wajisahau.
Ni kama tulivyotolewa kwenye Club Bingwa tukashindwa kuzungumza mapungufu yetu kwasababu ya ule upepo wa Yanga na Mamelodi.
Viongozi wetu kama umegundua wanafurahia sana kuona moments kama hizo zinajitokeza kwa wingi ili kusudi watu washindwe kujadili mwenendo mbovu wa timu yao.
Majirani tutazika.Koloizdad mmekimbia mzoga wenu
Leo wana tabora tumejipanga kuona nani atakae enda kutoa hicho kitaulo.Kuna vitaulo around hapo?
Utaongea tu.Uchovu na safari
Hapana, anaendelea.Kwahyo akipigwa mtu leo anatoka...
Kila la heri mnyama...tupo pamoja mpaka utuue...
Mi nikajua unaiangaliaMlioko karibu tupeni updates...
Dakika ya ngapi?
wamemuonea tu haikuwa kadi ile!Kadi nyekundu kwa Saidi Juma Makapu
Na mukishinda utakuja kutamba kama kungwi ngomani.Tukifungwa hii mechi mi nitafurahi sana
Ndio alarm pekee ya kuamsha viongozi wazembe ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao.
Hata kuiangalia siiangalii, tufungwe tu
🤣🤣🤣Mlioko karibu tupeni updates...
Dakika ya ngapi?
Refa atakua ana jambo lake.Kadi nyekundu kwa Saidi Juma Makapu
Mungu wabariki mashujaa wetu.HT: Mashujaa 1 Simba 0
Mapemaa kabisa