Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo cna wala hata presha, japo tumetokaaa.Mnyama akipigwa leo itakua faraja sana kwa UtoMasandawane...
Kwani ukiwa shabiki wa Topololoo , halafu hao vyura wakapata hayo makombe wanakuletea chumbani kwako uyaweke kabatini?Kwa akili hizi mnastahili kuongozwa na Akina Try again na Mangungu. Endeleani kufurahia ya vyura ambaye ana makombe mawili anayapigania msimu huu
Dah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo cna wala hata presha, japo tumetokaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sina stress, kutolewa nyie na masandawanaaa mie kwangu full burudaaaani.Simba ss hivi kila timu inajipigia tyuuuu!!
Ww udugu cocacola uko wapi njoo huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Umefika 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sina stress, kutolewa nyie na masandawanaaa mie kwangu full burudaaaani.
Kitendo cha Yanga kufurushwa na masandawana, bas mie roho kwatuuu, sio kutolewa leo? Hata kutochukua ubingwaa, cna shida kabisaaa.Dah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata match ya leo ilikua inanipa hype? Yaan niko kimyaaa km hakijatokea kitu.Umefika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilijua umezamia Burundi au Kongo kwa kipigo cha leo.
🤣🤣🤣🤣 Matokeo ulikuwa nayo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata match ya leo ilikua inanipa hype? Yaan niko kimyaaa km hakijatokea kitu.
Ya yanga kutolewa na masandawanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Matokeo ulikuwa nayo!!
Mapema gani na hamna mnachopambania saiviUtowizard bado mapemaaa tulia kwanza.
😂😂😂 Yanga tulishinda ila makolo sasa dah!!Ya yanga kutolewa na masandawanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua nayo tangu mda
Nimekwambia shule ya msingi tandale......mwaka 1993,,walimu wangu hawakuwah kunifundsha tofauti ya R na L.....mwendo wa kidumu cha maji,ufagio,vifuu,mbolea na hela ya uji....Hahaahahah sipati picha hilo group uandishi wao. Humo wazee wa kuchanganya R na L kama wote.
Kwani ukiwa shabiki wa Topololoo , halafu hao vyura wakapata hayo makombe wanakuletea chumbani kwako uyaweke kabatini?
Mpira burudani, kama huipati kwenye timu unayoshabikia kaitafute kwenye timu usiyoipenda.
Unadhani Simba ikifanya vibaya ndo mwisho wa burudani? Si unaitazama tu Yanga ikipaisha mapenati unafurahiiii.
Nimekwambia shule ya msingi tandale......mwaka 1993,,walimu wangu hawakuwah kunifundsha tofauti ya R na L.....mwendo wa kidumu cha maji,ufagio,vifuu,mbolea na hela ya uji....Hahaahahah sipati picha hilo group uandishi wao. Humo wazee wa kuchanganya R na L kama wote.
Furaha haikosekani, Mfano msimu huu Simba imefanya vibaya ila Vyura fc wamechukua kombe lao la 1 la kufa kiume kwa malalamiko kweli. Sasa hilo tukio ni burudani tosha.Sasa kama Yanga ikichukua makombe, hiyo furaha utaipatia wapi? Yaani unasubiria jirani yako afirisike ndio upate furaha badala ya kupambana upate ela ili ujifurahishe mwenyewe. Endelea kusubiri kusubiri Yanga ifanye vibaya ili upate hiyo burudani