FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

Wakishinda itamchelewesha kidogo MC algers ambaye ndiye tishio na ndiye tunakutana naye final match. Mazembe akishinda zote anakuwa na 8 Yanga tukishinda Zote tunakuwa na 10 au hata tukidraw tunakuwa sawa points na TP Mazembe ila tunapita kwa advantage ya ushindi juu yao.
Tuki.
Waki.
.
Kazi ipo
 
Casio wamekuja na toleo jipya la calculator spesho kwa CAFCL. Ina kitufe cha kumtumia zawadi Ibenge, hii inabidi uwe na wifi. Kitufe kingine cha maombi ili Mazembe afungwe leo. Halafu kuna kitufe spesho cha ndege ya SM Algier iishiwe mafuta njiani isifike Dar.
 
Hii Tp Mazembe sio sawa na hawa viwete ambao mlikuwa mnashangilia siku ya draw mlivyopangwa nao.

Mlishangilia kwasababu mlijua mnakutana na timu mbovu na ndio maana hizo point 4 mmechukua kwenye timu hiyo hiyo.

Tp Mazembe yupo kwenye vikwazo vya CAF vya kutosajili, Mazembe kaondokewa ja wachezaji wake wa 5 waliokuwa wanaanza 1st eleven.

Tp Mazembe ililazimu kutumia wachezaji wa kikosi B kuja kuziba mapengo ambayo yalikuwa hayana wachezaji.

Tp Mazembe ililazimika kumtumia kipa wake Shaibu kama striker kutokana na wachezaji wa eneo hilo kukosekana.

Tp Mazembe ikija NBC haiwezi kumaliza msimu bila kushuka daraja.

Ni ujinga sana kutamba kumfunga mpinzani ambaye ni dhaifu na kuweka mifano ya ushindi aliowahi kupata dhidi ya Simba kipindi wakati Tp Mazembe alikuwa bora.
Huyo Mazembe kamtoa Red arrow na kakupiga nje ndani miaka yote😀
 
TP mazembe akifanikiwa kushinda leo bado ni tatizo kwa wananchi kwa sababu wanakuwa wamefikisha alama 5 sawa na Yanga,na mbaya zaidi TP Mazembe game yake ya mwisho atakuwa home.
Kwa maana hiyo Yanga badala ya kupiga Dua TP mazembe apoteze wanatakiwa wahakikishe wanapata ushindi game yao na Al hilal
 
TP mazembe akifanikiwa kushinda leo bado ni tatizo kwa wananchi kwa sababu wanakuwa wamefikisha alama 5 sawa na Yanga,na mbaya zaidi TP Mazembe game yake ya mwisho atakuwa home.
Kwa maana hiyo Yanga badala ya kupiga Dua TP mazembe apoteze wanatakiwa wahakikishe wanapata ushindi game yao na Al hilal
Apigwe tu huyo mzembe
 
Mbungi inapigwa haswa hapa, TP Mazembe hapa ni kushikilia bomba tu.
 
Gooooooooooooooooo...... Mazembe noma sana... noama noma sana.... wanatupia cha kwanza dakika ya 15 ya mchezo...













Maneno ya kalkuleta baadae!!
 
Back
Top Bottom