Ferguson united
Member
- Aug 20, 2024
- 68
- 146
Kufungwa utafungwa tu ni suala la muda tu kifo chako kipo pale paleTupeni maua yetu, hii timu sio ya mchezo. Kuihold hadi sasa hawajapata goli ni kazi juu ya kazi.
Ila Waarabu hapa mwishoni walichoka, walianza kwa kasi sana.
Kwani mnabaki salama sasaKuna wale mashabiki mseto wametulia tu, hapa Yanga akifungwa utawaoba watakavyoshambulia uzi
Hii ni champions League huwezi elewa subiri mechi zenu za kina mama keshoHivi game wachezi 24 wote ni wazee wa team zote najilaum kuuacha usinginzi wangu
Mpira na mbususu dont mix 🤣🤣🤣🤣Mobeto alaaniwe popote alipo
Tulicheza final hapo mashabiki full house tukashindaAdvantage Kwa Yanga kutokuwepo na Mashabiki
Ooh bora ujisaidie ulale mkuu.Hivi game wachezi 24 wote ni wazee wa team zote najilaum kuuacha usinginzi wangu
Yanga Leo Iko vizuri Sana.
Ingawa nahisi kama miguu ya Pacome haiko fit.
Waarabu walikua na kasi sana mwanzoni,nikajua leo tutapigwa mengi,aisee mwishoni huku wamepelekewa moto hatari,nadhani wamechoka,yawezekana tukatoka suluhu au tukawafunga kipindi cha pili.Nasikitika tu kadi aliyopewa Pacome.
Pacome out, Chama InSo far tumecheza vizuri aingie Chama sasa
Walichoka na walianza kupaniki ila shida wachezaji wa Yanga wakaanza kuleta mpira wa mbwembweTupeni maua yetu, hii timu sio ya mchezo. Kuihold hadi sasa hawajapata goli ni kazi juu ya kazi.
Ila Waarabu hapa mwishoni walichoka, walianza kwa kasi sana.
Ngoja tutakufurahishaKwani mnabaki salama sasa
Champions league ya Africa ni kama ndondo cup tu ni Bora ata uache kusifia ujingaHii ni champions League huwezi elewa subiri mechi zenu za kina mama kesho
Unaona wachezaji 24!! Kashabikie tu rede.Hivi game wachezi 24 wote ni wazee wa team zote najilaum kuuacha usinginzi wangu
Hapana atoke Aziz kiPacome out, Chama In