Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Yanga yabana yaachiaInabidi tuchague kichwa cha habari:
1. Yanga yawa kijiko cha hotelini
2. Yanga yafanywa jamvi la wageni
3. Yanga yapakuliwa kama wali ugenini
4. Uchenyetaji waendelea Yanga.
5. Kimoja tu, Wananchi chaliii...
6. Yanga kama mlivyosikia....!
Malizieni nyingine ....
Nini kimetokeaJamn kheeee kweli uchawi upoo
Wananchi walambishwa dudu la yuyu.....Nini kimetokea
Ile klabu aliyoondoka imeanza kufanya vizuri kule South. Engineer kawahujumu hapaGamondi was/is a better coach...kwa huyu tumepigwa!