FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

Yangani timu ya maccm ambayo ni majizi ya kura kwanini yasitumie mbinu za kuiba kura ili washinde mechi? Acheni yapigwe nyingi
 
Inabidi tuchague kichwa cha habari:
1. Yanga yawa kijiko cha hotelini
2. Yanga yafanywa jamvi la wageni
3. Yanga yapakuliwa kama wali ugenini
4. Uchenyetaji waendelea Yanga.
5. Kimoja tu, Wananchi chaliii...
6. Yanga kama mlivyosikia....!

Malizieni nyingine ....
Yanga yabana yaachia
 
Na hapa. Ndio wanaanza kuelewa kuwa club bingwa sio ya kitoto huku ni show show
 
Uzuri wa hawa majamaa kwenye hizo 4 watacheza 1 tu
 
Back
Top Bottom