We subiri tu michuano irejee,utakuja kukimbia comment yako,nakwambia.Panga sasa Kikosi Kwa Hali Ya Sasa Nani Angecheza Mechi ya Ushindani usiwe unaongea tuuuu.
Mimi ni Mwana Simba Kijana nilie na Card Ya Uanachama Nakwambia kitu nacho Kifahamu. Hao ndio wachezaji tulio kuwa tunaelekea nao na Tunaenda Nao Kimataifa. Watafanyiwa Sub either kuanza au kuingia Baadae. Kikosi Kipana kiko wapi.
Zile hamsa hamsa zitajirudiaHuyu kocha aondoke Simba. Haiwezekani hii timu ije kutuaibisha nyumbani, Simba itaenda kuliaibisha taifa huko CAF
Asante SIMBA yangu kwa hii suluhu81' [emoji460]Kyombo Goooooooooooooaaal gooal
Habib Kyombo anasawazisha bao kwa Simba SC, akipokea Krosi murua kutoka kwa SAKHO, Kazi nzuri kwa Chama pia.
Simba SC 1-1 Al Hilal
Tz kuna mashabiki basi????hii nchi kuna wapenzi wa ushindi sio mashabiki wa mpiraKuna watu muda wote lawama tu kila siku dhidi ya uongozi wa Simba sc, tujifunze kuwa watu wa soka.
Tusiwe hivyo, soka muda mwingine halipo chini ya matakwa na matarajio yetu.
Man city na Chelsea wana kila aina ya mchezaji waliyemtaka lakini kupoteza si ajabu na washabiki wao huelewa soka lilivyo. Nguvu moja.
Zile hamsa hamsa zitajirudia
Tena kubwa sanaWale walioomba aibu kwa Simba leo aibu imewapata wao...
Ibenge ana mbinu sana huyo mzee, alipoona wamezidiwa akaanza kutumia long passes za counter attacks ambazo zilikuwa hatari sana kwetu.Kinyesi fc wangekumbana na hilal hii hakuna rangi wangeacha kuona..ibenge ni master sana yule mzee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Huwezi kumlinganisha Farid na Okrah tukubali tu kuwa Yanga ni bora!Yenye kitu nitimu gan sasa?
Upo Wapi Wewemaana hamna namna
Mijitu ya hovyo sana, ushindi dhidi ya Singida Big Stars hakuna aliyemtukana kocha Robertinho wala uongozi zaidi ya kutamba na kukenua meno. Leo kufungwa goli tu la kutanguliwa lawama na matusi chungu nzima ilihali mpira bado unaendelea.Tz kuna mashabiki basi????hii nchi kuna wapenzi wa ushindi sio mashabiki wa mpira
Ametia kimvuuutocha mbaal.Poronounciasion.Ras Simba anakuhusu ni losers sio loosers.Andika kiswahili,kiingereza maji marefu kwako.
Huwezi kumlinganisha Farid na Okrah tukubali tu kuwa Yanga ni bora!
Nimegundua humu mamluki wengi....
Simbaaa guvu moja
Unashauri simba ijifungie bunju au?Kwa Ambao Mnasema Simba Ni Iko Sawa, Je kwa Hii Ratiba na Fitness ya Wachezaji Tutatoboa?
Tarehe 11 Tunacheza na Horoya Kwao.
Tarehe 18 Tunacheza na Casablanca Kwa Mkapa
Siku Tatu mbele Tuna Mechi Ngumu na Azam Kwa Mkapa Ambayo tukifungwa Ubingwa wa NBC tuusahau kwa Njia Yoyote inatakiwa tushinde lakini kumbuka Siku Tatu Nyumba Tutakuwa tumecheza Mechi Ngumu Ya Shoka Inayo hitaji Tushinde kwa Mkapa kama Tunataka kusonga Mbele Kimataifa. Yaani itakuwa kama Leo.
Siku Nne Mbele baada ya Kukipiga na Azam mechi ngumu tuna Cheza na Vipers Kwao….
Haya Una Fitness ya Hiyo? Mkisema kishabiki sawa ila kiukweli Simba Tuchague moja