FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

Panga sasa Kikosi Kwa Hali Ya Sasa Nani Angecheza Mechi ya Ushindani usiwe unaongea tuuuu.

Mimi ni Mwana Simba Kijana nilie na Card Ya Uanachama Nakwambia kitu nacho Kifahamu. Hao ndio wachezaji tulio kuwa tunaelekea nao na Tunaenda Nao Kimataifa. Watafanyiwa Sub either kuanza au kuingia Baadae. Kikosi Kipana kiko wapi.
We subiri tu michuano irejee,utakuja kukimbia comment yako,nakwambia.
 
Huyu kocha aondoke Simba. Haiwezekani hii timu ije kutuaibisha nyumbani, Simba itaenda kuliaibisha taifa huko CAF
 
Kuna watu muda wote lawama tu kila siku dhidi ya uongozi wa Simba sc, tujifunze kuwa watu wa soka.

Tusiwe hivyo, soka muda mwingine halipo chini ya matakwa na matarajio yetu.

Man city na Chelsea wana kila aina ya mchezaji waliyemtaka lakini kupoteza si ajabu na washabiki wao huelewa soka lilivyo. Nguvu moja.
 
Kuna watu muda wote lawama tu kila siku dhidi ya uongozi wa Simba sc, tujifunze kuwa watu wa soka.

Tusiwe hivyo, soka muda mwingine halipo chini ya matakwa na matarajio yetu.

Man city na Chelsea wana kila aina ya mchezaji waliyemtaka lakini kupoteza si ajabu na washabiki wao huelewa soka lilivyo. Nguvu moja.
Tz kuna mashabiki basi????hii nchi kuna wapenzi wa ushindi sio mashabiki wa mpira
 
Kinyesi fc wangekumbana na hilal hii hakuna rangi wangeacha kuona..ibenge ni master sana yule mzee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ibenge ana mbinu sana huyo mzee, alipoona wamezidiwa akaanza kutumia long passes za counter attacks ambazo zilikuwa hatari sana kwetu.
 
Tz kuna mashabiki basi????hii nchi kuna wapenzi wa ushindi sio mashabiki wa mpira
Mijitu ya hovyo sana, ushindi dhidi ya Singida Big Stars hakuna aliyemtukana kocha Robertinho wala uongozi zaidi ya kutamba na kukenua meno. Leo kufungwa goli tu la kutanguliwa lawama na matusi chungu nzima ilihali mpira bado unaendelea.

Watu wa hivi hawafai kabisa.
 
Kwa Ambao Mnasema Simba Ni Iko Sawa, Je kwa Hii Ratiba na Fitness ya Wachezaji Tutatoboa?

Tarehe 11 Tunacheza na Horoya Kwao.

Tarehe 18 Tunacheza na Casablanca Kwa Mkapa

Siku Tatu mbele Tuna Mechi Ngumu na Azam Kwa Mkapa Ambayo tukifungwa Ubingwa wa NBC tuusahau kwa Njia Yoyote inatakiwa tushinde lakini kumbuka Siku Tatu Nyumba Tutakuwa tumecheza Mechi Ngumu Ya Shoka Inayo hitaji Tushinde kwa Mkapa kama Tunataka kusonga Mbele Kimataifa. Yaani itakuwa kama Leo.

Siku Nne Mbele baada ya Kukipiga na Azam mechi ngumu tuna Cheza na Vipers Kwao….

Haya Una Fitness ya Hiyo? Mkisema kishabiki sawa ila kiukweli Simba Tuchague moja
Unashauri simba ijifungie bunju au?
 
Back
Top Bottom