FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

Kwa Ambao Mnasema Simba Ni Iko Sawa, Je kwa Hii Ratiba na Fitness ya Wachezaji Tutatoboa?

Tarehe 11 Tunacheza na Horoya Kwao.

Tarehe 18 Tunacheza na Casablanca Kwa Mkapa

Siku Tatu mbele Tuna Mechi Ngumu na Azam Kwa Mkapa Ambayo tukifungwa Ubingwa wa NBC tuusahau kwa Njia Yoyote inatakiwa tushinde lakini kumbuka Siku Tatu Nyumba Tutakuwa tumecheza Mechi Ngumu Ya Shoka Inayo hitaji Tushinde kwa Mkapa kama Tunataka kusonga Mbele Kimataifa. Yaani itakuwa kama Leo.

Siku Nne Mbele baada ya Kukipiga na Azam mechi ngumu tuna Cheza na Vipers Kwao….

Haya Una Fitness ya Hiyo? Mkisema kishabiki sawa ila kiukweli Simba Tuchague moja
Unaweza ukawa na hoja ya msingi ila umeshindwa kujua muda sahihi wa kuiwasilisha
 
62' Kuna mchezaji wa Hilal yupo chini, Refa anasema inuka cheza mpira hizo ni shida zako TU
 
Eneo ni lile lile jirani ya goli
 
Mbrazil amefanya kosa kubwa sana kuja kufundisha timu kama simba. Maana kuna uwezekano mkubwa wa kujichafulia tu CV yake. Bora angebakia zake tu Vipers.
Wakweli amechafua CV yake pakubwa sana, makolo watamfukuza bila huruma
 
Nyoni anakwenda nje na ameingia Mzamiru upande wa Simba
 
Al Hilal wanafanya mabadiliko ya wachezaji watatu kwa mkupuo..!
 
Simba wanatafuta kuchomoa bao lakini mambo ni magumu..!
 
Ilikuwa tupigwe nyundo ya pili
 
Looooooo Simba wanakoswa koswa hapa Almanusura Hilal waandike bao
 
Cross ya Sakho aisee imekosa mmaliziaji
 
Kakolanya tena katuepusha hapa na balaa lingine
 
Back
Top Bottom