FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

Al Hilal wametuacha tucheze wanatusibiria kwenye counter
 
Kwa uchezaji huu wa Simba[emoji848] iyo jumamos mtaliaibisha taifa huko Guinea
 
Kongole Beno, anacheza vizuri sana kuokoa hatari ile, Namna gani Simba wanaruhusu mashambulizi
 
Ibenge ameibadilisha sana hii timu. Siyo Ile iliyocheza na utopolo alipokuwa anaanza/mgeni
 
Sakhoooo daaah ni offtarget
 
79' Golikipa Mohamed anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa kupoteza muda
 
Tumewakosa hawa mapimbi
 
Bocoo looooooo, Anakosa nafasi nzuri ya kufunga bao ilikuwa nafasi bomba.
 
Back
Top Bottom