[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwasibu tulia. Ushabiki wa mpira ni burudani tu usiwe serious sana. Hapa hatufanyi mahesabu ya Aziz Ki acha tuinjoi bana kha! [emoji16]
Muhimu tushindeSimba leo tunaupiga sana
Bado mapemaa sana bhana, acha hizo.Mlandege ni timu ya hovyo sana.
Huyu babu Ntibanzokiza ndo atatunyima ushindi, anakeraa sanaa.Chama simtaki ila angesaidia sana kupenyeza, Saido ana tamaa ya kufunga yeye