Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vibayaa hivyo, LolNa mfungwe nifurahie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sana tuSimba leo tunaupiga sana
Dogo em kuwa na adabu, mie UD nkatafute nn tenaa?Aaah dg kua na heshima...na age hii niwe student
By the way
Sasa mbna unazunguka viunga vya udsm..Kila siku....au ndo kutumia wifi
Unateseka ukiwa wapiMlatano[emoji870] Vs Mlandege
Utopolo waandike hii kututetea kama KagereHivi Ayoub ni kipofu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kwenye kugombea walikuwepo, baada ya kuenguliwa kwa kukosa sifa, visingizioo vingiii.Sasa toka lini wanaume wakawa sehemu ya viti maalum? Au ndio michezo yenu [emoji2960][emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan hizi zote zimekutana huku figisu na huku figisu yule refa wa Simba angekua anachezesha kule Shybush angeambiwa tu "refa mpira ukiisha tunakusubiri tunaondoka na wewe"
Huyu jamaa huwa ana makosa madogo madogo ya kijinga sana, sijui huwa ana kitete?Hivi Ayoub ni kipofu??