FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

Hapo Saidoo angetoa assist ilikuwa inajaa.
 
Aaah dg kua na heshima...na age hii niwe student
By the way
Sasa mbna unazunguka viunga vya udsm..Kila siku....au ndo kutumia wifi
Dogo em kuwa na adabu, mie UD nkatafute nn tenaa?
Wee bado hangaika na madesa.
 
Sasa toka lini wanaume wakawa sehemu ya viti maalum? Au ndio michezo yenu [emoji2960][emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kwenye kugombea walikuwepo, baada ya kuenguliwa kwa kukosa sifa, visingizioo vingiii.
 
Yaan hizi zote zimekutana huku figisu na huku figisu yule refa wa Simba angekua anachezesha kule Shybush angeambiwa tu "refa mpira ukiisha tunakusubiri tunaondoka na wewe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom