Bado hamjasema, malipo ni hapahapa.Offside ya Wazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaahHusihofu siongei sana....... ila lile goli ww unalionaje.
Tunawachapa.Hii game imeshakuwa ngumu tayari baada ya kuruhusu jamaa watangulie, tutegemee low block, kujiangusha mpaka dakika 90.
Kwa jinsi ambavyo Simba Sc haina playmaker, sitegemei magoli zaidi ya moja kwa Simba Sc, kwahiyo 1-2 haiwezekani.
Ilishinda bhana.Timu haijashinda mechi hata moja tokea mashindano yaanze…
Paki basiBado Dakika nyingi sana