Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefeli majaribio, maana walifungwa 3 na APRTulipeleka kuwafanya majaribio
nimemsamehe sababu anatumia ARV la sivyo ningekaba kooSameheaneni,,matusi ni dhambi.
Unaangalia ya nini hii fainali? Kama inakukera subiri AFCON si muda mrefu itaonyeshwa hapa hapahii fainali ya vilaza waliofungwa tano haiishii tunataka AFCON siye.
Kanawe miguu ulaleWakati macho na masikio yote Afrika leo yakielekezwa Afcon, kuna makubwa jinga yanawaza kombe mbuzi la Mapinduzi!
Tukiwaita mbumbumbu wanakasirika…
Uzuri ni kuwa.... benchika hamtaki Chama .....hapa Sasa ndo patamuSio Mara moja nimewahi kuandika hapa kuwa Simba hii bila Chama hawana timu yakutengeneza nafasi za ushindi!, Chama ni mchezaji anayechezesha timu ana create chances kibao..... Benchika Kama atajidanganya kumuacha chama nafasi ya 3 inawahusu nyie makolo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2960]. Utofauti wa Benchika na Robarthno ni Benchika amebebwa na kombe la shirikisho tu hana ubora wowote kumzidi Rob
Ihefu mbovu now Mzee.... hata Simba aliikandaWydad ni mbovu now Mzee ....hata ihefu anweza ikanda
Makolokolo walikuwa na heshima lini?Wapendwa mbona mnatukanana! Huu ni Mpira tu, usiwaondolee heshima mloijenga hapa Jamii Forum
Halafu wakapigwa za uso hadi mwiko kuchomoka nyuma 😁😁Tulipeleka kuwafanya majaribio
Yaaah but ilikuwa Yanga cHalafu wakapigwa za uso hadi mwiko kuchomoka nyuma [emoji16][emoji16]
Msimu ujao tutaleta Yanga princess
Anakeraa mbwa huyoo.Madame polepole play fair be positive, huu ni mpira2 wala usiwe na hasira
Kaa kwa kutuliaa weyeee.Utapata taabu sanaa ....na bado hujasema,[emoji23]