Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kifo ni kifo tu
Akikujibu nitagACHANA NA DAKIK LKN SIMBA HATUNA TIMU APO
Toke uko Nusu fainali tunacheza kama walemavu tunaingiza viungo lakin ndo hao akina Onana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nitagACHANA NA DAKIK LKN SIMBA HATUNA TIMU APO
Toke uko Nusu fainali tunacheza kama walemavu tunaingiza viungo lakin ndo hao akina Onana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangaza kabisa wanayanga wasikanyage hapa maana hii mechi haiwahusu.
Kila la heri mnyama ukatafune ndege wako salama.
Simba ameporwa nini mjukuu?Hujasoma nilicho andika? Singida alitolewa hapo makusudi isingewezekana mara ya pili aporwe, watu wangestukaa.
Wakaona wawamalize kwa simba afu simba aporwe.
Na mwakani itakua hivyoo.
Watahudumiwaje wakati mashindano yameisha?100m + timu kuhudumiwa kila kitu wanapokuwa kwenye hayo mashindano
Furaha yangu imerudishwa na kina De bruyne.Man city amemzibua New Castle
Naunga mkono hoja ila Simba SC timu hamna ni ungaungaPressure imekuwa kubwa sana hapo mwishoni.
Hata Mie nimewaza hivyo. Wanaiachia timu kubwa ili kuleta mvuto Hadi mwisho. Shabiki WA Simba Hamna haja ya kupaniki leo mlikuwa hamchezi na Mlandege Tu.Hujasoma nilicho andika? Singida alitolewa hapo makusudi isingewezekana mara ya pili aporwe, watu wangestukaa.
Wakaona wawamalize kwa simba afu simba aporwe.
Na mwakani itakua hivyoo.
Full mkoko kwani keo Bocco amecheza?Pamoja na kuchezesha kikosi full mkoko [emoji23][emoji23]
Una akili timamu.?Watahudumiwaje wakati mashindano yameisha?
Hapo zenji hauna habari napo Tena 🤣Furaha yangu imerudishwa na kina De bruyne.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama yako ana rinda?Una akili timamu.?
Na tukirudi hivi ligi kuu tutakua nafas ya 5 hukoo Hatutaiweza hata AzamYeah! Simba tuna kazi, kuna baadhi ya timu za ligi kuu zitatusumbua