Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlandege wanaamini watashinda hii mechi.
Wanajidanganya!!! Hatarii
😂😂😂Kabeeesa!
Hili ndo la msingi bwahahahahahahahahah🤭
Mlandege wanaamini watashinda hii mechi.
Wanajidanganya!!! Hatarii
Upumbavu mtupu.
Toa Saido upuuzi mtupu
Ssar hana hadhi ya kucheza Simba
🤣🤣🤣 Habari zilizozagaa kwa kasi eti Mlandege hakuwahi kushinda mechi yeyote eti. 🤣🤣🤣Aibuu yaooo 5imba🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Dakika ya Ngapi 🤠?
Kwenda zako weweeee. 😅😅 eti leo unajifanya we sio Kolo. 😅😅 uyooooo.Mlatano kaliwa na mlandege 🤣🤣🤣🤣🤣
Ila Mzab unanichekesha sana yaani. 🤣🤣🤣 lol.Leo kimoko tuu chaliiii
Dah! Pole sana mtoto mzuri. Huyo refa nitamchapa viboko!! Wewe muache tu.Ungetazama mpira baada ya bao kupatikana, kuna kosa alifanyiwa onana ndani ya box, refa aliminya filimbi, had wachezaji wa simba walimfata.
Ila kwa mlandege kidogo tyuuh anapuliza.
Swahiba Mwasibu huwa haelewekagi eti hapo wakipata kagame ka kujifua wakashinda basi anageuza shilingi. 😅😅Ndugu mwasibu leo umekubali 😀
Ungetazama mpira baada ya bao kupatikana, kuna kosa alifanyiwa onana ndani ya box, refa aliminya filimbi, had wachezaji wa simba walimfata.
Ila kwa mlandege kidogo tyuuh anapuliza.
Ntibazonkiza na John Bocco ni wazee! Hatuwataki!! 😁Makolo kesho utasikia... hatumtaki benchika
Hatumtaki mangungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona kinyonge zaidi. 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna furaha man city kashinda.
Now niko buzzy kutazama AFCON
Nani kasema? 😅😅Imeishaaaaa hiyooooooo!!
Kushneyyyyyy!!!!
Ohooo!! 😁
Halafu mwisho wa siku eti wanakuja kuliwa kiulaiini, na Mlandege!!Hawa ndio walikuwa wanasema yanga kawakimbia😅😅😅...