Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Eti. 😅Hawa ndio walikuwa wanasema yanga kawakimbia😅😅😅...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti. 😅Hawa ndio walikuwa wanasema yanga kawakimbia😅😅😅...
Ndugu mwathibu chenga sana aisee 😃Swahiba Mwasibu huwa haelewekagi eti hapo wakipata kagame ka kujifua wakashinda basi anageuza shilingi. 😅😅
Pamoja na kulipambania ili kombe na bado wameshindwa kulipata,wapo unga vibaya mno hawa mbu3,iwapo tungekuwa serious na lile bonanza halafu tutakutana nao kule tungewapiga goli za chini 10Hahahaaa. Swahiba hapa nawaza tu sijui watazivalia wapi? 😅😅
#Kikowappi.
Unapigaje mchezaji wenu wa 12, mmewekeza sana kwa mchezaji wa 12 - marefaTofauti ya Simba na vikosi vingine hutaina wakilalamika au kutaka kupiga marefa. Simba ni timu kubwa ona timu zote zinaungana kupambana nayo.
Thubutuu,makolo hamna kitu walichofurahia kwenye lile bonanza kama kutolewa kwa Yanga,walijua kabisa tungekutana nao wangechezea goli za kutosha na tungewala bara na visiwani 😃Halafu anaibuka Kolo mmoja anakwambia Timu ya Wanachi imetukimbia tulipanga tuwapige hata kumi.
Jamani nyyiiie nyyiiie nyyiiie . 😅😅😅
😂😂😂Pamoja na kulipambania ili kombe na bado wameshindwa kulipata,wapo unga vibaya mno hawa mbu3,iwapo tungekuwa serious na lile bonanza halafu tutakutana nao kule tungewapiga goli za chini 10
Hakuna timu hapo, hakuna cha uchawi hauvuki bahari wala nini. Mbona kimataifa wanapigiwaga hapo hapo kwao Zanzibar.Duuh huu uchawi wa Mlandege utakuwa wa Chumbe, hivi timu za Zanzibar hazichezi kimataifa, ili tujue hawa Mlandege huwa wanakuwa hivi hivi na kimataifa au ndio uchawi hauvuki bahari
Kwahiyo unataka kusema mmeonewa? Goli walilofunga ni la offside? Kuna goli Simba wamefunga likakataliwa?Hata Mie nimewaza hivyo. Wanaiachia timu kubwa ili kuleta mvuto Hadi mwisho. Shabiki WA Simba Hamna haja ya kupaniki leo mlikuwa hamchezi na Mlandege Tu.
Simba inachezea jina tu ila timu hakuna
Hahaha Kalpana huko anapumulia mashine....sasa nawe usije siku ukapigwa kimoko nitakucheka 😂😂😂😂Ila Mzab unanichekesha sana yaani. 🤣🤣🤣 lol.
Mie aio kolo wala aio mwanananchi...mie napemda boli tuu litembeeeKwenda zako weweeee. 😅😅 eti leo unajifanya we sio Kolo. 😅😅 uyooooo.
Pole sana Mzab. 😅
Kisicho ridhiki hakiliki Mkuu...🤣🤣🤣🤣All the best kwa Simba. Tutashinda tu
Ni riziki sio ridhikiKisicho ridhiki hakiliki Mkuu...🤣🤣🤣🤣
Mnaongea Sana ...
Muwage na Akiba..
Mkuu we acha tu... Pale Simba hamna wachezaji, huwa tunadanganyana tu. Nimekereka sana.Umeamkaje mkuu
Sawa..🤣🤣🤣Ni riziki sio ridhiki
Kwani haukuwahi kujua safari ya mwendawazimu huwa inaishia jalalani mkuu?Mkuu we acha tu... Pale Simba hamna wachezaji, huwa tunadanganyana tu. Nimekereka sana.