Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Man City anakusaidia nini mjukuu. Kipigo cha mnyama ndo mpango mzima 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna furaha man city kashinda.
Now niko buzzy kutazama AFCON
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man City anakusaidia nini mjukuu. Kipigo cha mnyama ndo mpango mzima 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna furaha man city kashinda.
Now niko buzzy kutazama AFCON
Mwanasimba huyo kipigo kimemchanganya labda anafikiri we ni Tayana-wog 😁😁😁
Anakula pesa iliokwisha tafutwaMwanae mnene huyo🤣😂😁
Wewe leo wa kuongea hivyo........... umesha ya sahau ya Singida.Ungetazama mpira baada ya bao kupatikana, kuna kosa alifanyiwa onana ndani ya box, refa aliminya filimbi, had wachezaji wa simba walimfata.
Ila kwa mlandege kidogo tyuuh anapuliza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanichekesha wallah.Ayoub apimwe wakuu.
Nahizi kuna namna ile kichwa haiko sawa
![]()
![]()
hakukua na uwezekano wa kushinda,![]()
Mie nilijua kabisaa km simba angetangulia, bas ingeishia matuta
Huwa mnaanzisha nyie wachawi. Hatujai ng'oo.Makolo kesho utasikia... hatumtaki benchika
Hatumtaki mangungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari keshatoa tathmini yake ila sina uhakika kama ni ya kihasibu 😁😁😁Kwanini bwana mwasibu mbobevu OKW BOBAN SUNZU asitupe tathmini yake kiuhasibu?
Si tulichezesha U20 sidhani kama kinafika hata milioni 50Kikosi chako kimepata bei gani?
Dada mkubwa amebambiwa kalioz😂😂😂Wamama viti maalum faina leo🤣🤣🤣
Dadazii viti maalum kutoka zanzibar- mlandege fc vs Simba ambao ni dadazi viti maalum kutoka Tz Bata.🤣🤣🤣
Uzuri nyie hamjafungwa bado mko kwenye mashindano🙄🙄Kikubwa mmefungwa
Mo angeuza timu anunue basi faida ni kubwa
Man city kanipa furahaaa, now niko buzzy Cote d voire kutazama AFCON.Man City anakusaidia nini mjukuu. Kipigo cha mnyama ndo mpango mzima [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2870961
Dada Mwajuma ametoka kwa aibu😁😁😁Simba katoa bahasha na kaliwa kichwa
Kabeeesa!Kikubwa mmefungwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman si ndo leo ameamua kulipizaa kuwabonafsishaa wa kwaoo.Wewe leo wa kuongea hivyo........... umesha ya sahau ya Singida.
Mliwa 5 Leo tena kaliwa na mla ndege.... Simba ameliwa unyounyoooo yaani 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]