FT: Namungo 0-0 Yanga | VPL | Majaliwa Stadium

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa utopolo wanalilia kubebwa bebwa tu mbona hawalalamiki timu zingine zikionewa dhidi yao??

Chezeni mpira vilio feki havitawasaidia
 
Reactions: Lee
Kwa mwenendo huu, Azam anakamata nafasi ya pili muda si mrefu
 
Mwekezaji gan hana dira hana mpango
Sijawahi kusikia malengo ya Muwekezaji Wa yanga zaidi ya kujitapa atavunja bank ooh nitasajili wachezaji kutoka ligi 5 bora African brabra nyingi
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…