rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kanuni zinasemaje kwaniWote hata Jonisia ilitakiwa achomewe pia penalty ya kagere, hawa ndiyo watakuwa na adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanuni zinasemaje kwaniWote hata Jonisia ilitakiwa achomewe pia penalty ya kagere, hawa ndiyo watakuwa na adabu
Injinia anajitafutia nafasi gsm wakitoa walivozoba akigombea ata uenyekiti wanampaSijawahi kusikia malengo ya Muwekezaji Wa yanga zaid ya kujitapa atavunja bank ooh nitasajili wachezaji kutoka ligi 5bora African brabra nyingi
Hahahahah....!Nyie kushinda mpaka mtoe 40ml
Afadhali likataliwe ili waendelee kukereka 😂😂😂...,wao wametoa draw na goli lao limekataliwa la wazi kabisa.
Mpira ulitoka nje.. ni kama mlivyoshangalia refa kukataa goli la Simba kwa GwambinaHawa waamuzi mmoja akichomewa nyumba hivi watakuwa na adabu, Shenzi kabisa
Wewe huyu huyu uliyefurahia kukataliwa kwa GOLI la Simba dhidi ya GwambinaHapana,ila ujinga umezidi.....kama ni maelekezo zisi is too much
Kama lile la Simba kule Mwanza?Goli la kona ni offside??
Mtaelewa tuGoli la kona ni offside??
WATUMWA "Slaves"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
![]()
Waende FIFA HukoYaani yanga ndio imekua dhaifu hivi kiaisi Cha kulilia magoli ya offside?
Mkuu kunywa
Mpira umewahi hata kupiga danadana mkuu?mpira ulitoka nje..ni kama mlivyoshangalia refa kukataa goli la Simba kwa Gwambina
Muulize MsomaliKanuni zinasemaje kwani