Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ulijisahau ukadhania Namungo ndo Yanga.Namungo 2- Yanga 0.
Utopolo wenzangu leo tunafungwa
Kumbe utopolo wenzako ni Namungo?Utopolo wenzangu leo tunafungwa
๐ผ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ต๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ [emoji23]Namungo 2- Yanga 0.
Vice versa is trueNamungo 2- Yanga 0.
Rudisha kuku wa watu ndugu mgangaNamungo 2- Yanga 0.
๐ท๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ 3 ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Ulitegemea wachezaji wa Namungo kila siku wawe vizuri kimchezo kwani ni Malaika hao [emoji848]Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Sisi tunachoangalia ni pointi 3 muhimu. Tena hakuna raha kwa Wananchi, kama hii ya kuwafunga wadogo zake simba, na pia simba mwenyewe.Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!