FT: Namungo FC 0-2 Yanga, Ligi Kuu, Uwanja wa Majaliwa (Lindi), 07/12/2022

Namungo badala ya kucheza kwa kuwaheshimu Yanga wanacheza kwa kuwaogopa! Wanacheza huwezi kuamini ni wachezaji wa ligi kuu! Very poor performance! Unfortunately kocha wao mkuu ndio kocha wa Taifa Stars? Shame!
Hivi ihefu watacheza lini tena na yanga kelele zipungue huuku mtaani? Maana Namungo wametuangusha

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Namungo badala ya kucheza kwa kuwaheshimu Yanga wanacheza kwa kuwaogopa! Wanacheza huwezi kuamini ni wachezaji wa ligi kuu! Very poor performance! Unfortunately kocha wao mkuu ndio kocha wa Taifa Stars? Shame!
Ukitazama vizuri utaona kwamba kuna baadhi ya mechi Yanga huwa inashinda si kwamba siku hiyo wanakuwa Bora ILA timu wanayocheza nayo inakua hivyo hovyooo ........mchezaji hata akili ya mpira inakua ndogo .....quality ndogo , nafasi nyingi za wazi wanapoteza .......

Angalia mechi ya prison na nafasi walizopata prison ...namungo, Kagera sugar....
 
Yanga baba lao
 
Mayele kaisha sana. Asiporudi Kongo kwenda kuchochea dawa sidhani kama ataweza kufunga goli Tena msimu huu
Mara nyingi mmesema hivyo. Wapo hata walimuendea kwa songoma. Wakatangaza kabisa tayari tumeshika miguu. Alivyotupia tena kwa kasi wakaambiwa wamekosea masharti kwa sangoma
 
Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Kama ilivyokuwa ngao ya hisani nayo ilikuwa hivyo hivyo na timu yenu ya kumtegemea mchezaji mmoja.
 
Msimu Yanga mechi aliyo cheza hovyo ni moja tu na Kagera Sugar.Unaizungumzia timu hiyo ya juzi iliyo Park bus mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…