Hivi ihefu watacheza lini tena na yanga kelele zipungue huuku mtaani? Maana Namungo wametuangushaNamungo badala ya kucheza kwa kuwaheshimu Yanga wanacheza kwa kuwaogopa! Wanacheza huwezi kuamini ni wachezaji wa ligi kuu! Very poor performance! Unfortunately kocha wao mkuu ndio kocha wa Taifa Stars? Shame!
Ukitazama vizuri utaona kwamba kuna baadhi ya mechi Yanga huwa inashinda si kwamba siku hiyo wanakuwa Bora ILA timu wanayocheza nayo inakua hivyo hovyooo ........mchezaji hata akili ya mpira inakua ndogo .....quality ndogo , nafasi nyingi za wazi wanapoteza .......Namungo badala ya kucheza kwa kuwaheshimu Yanga wanacheza kwa kuwaogopa! Wanacheza huwezi kuamini ni wachezaji wa ligi kuu! Very poor performance! Unfortunately kocha wao mkuu ndio kocha wa Taifa Stars? Shame!
Vp Leo, hatujanunua mechi?Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Huku ni waelewa tu. Huku hakuna kupayuka payuka. Huku ustaarabu unachukua nafasi. Huku hatuwezi kuwa na mbwiga kama weweVipi utopolo wenzangu mbona mmesusa hii mechi? Au paka mfunge ndio mnaonekana km ilivo kawaida yenu
[emoji23][emoji23] kwamba ihefu ndio amekua kimbilio lenu nyie msha nyoosha mikono!Hivi ihefu watacheza lini tena na yanga kelele zipungue huuku mtaani? Maana Namungo wametuangusha
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Ksbb Yanga haifungwi kama mikiaKwanini kolo?
Alitusaidia kupunguza kelele za anibiteni[emoji23][emoji23] kwamba ihefu ndio amekua kimbilio lenu nyie msha nyoosha mikono!
Yanga baba lao90' Mwamuzi anamaliza mchezo
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
85' Yanga wanaendelea kufanya mashambulizi
Tuisila Kisinda anafunga goli la pili kwa Yanga
82' GOOOOOOOOOOO
75' Namungo FC wamepata nafasi kadhaa za kupiga mashuti langoni kwa Yanga
66' Bado mambo ni magumu kwa Namungo, wapo nyuma kwa bao 1-0
59' Kasi ya mchezo inaongezeka
55' Yanga wanatengeneza mipango kwa kupiga pasi nyingi
50' Bado mchezo ni wa ushindani, wanapeana zamu kushambuliana
Kipindi cha pili kinaanza
MAPUMZIKO
45' Namungo wanapambana kusawazisha
Yannick Bangala anafunga baada ya kipa wa Namungo kuutema mpira
GOOOOOOOOOOOOO
40' Yanga wanapata faulo
35' Presha ya Yanga inaongezeka
26' Namungo wanafika langoni mwa Yanga lakini wanakosa umakini
20' Mayele anaonekana kuwa chini kama mwenye maumivu
18' Mayele anaangushwa ndani ya boksi lakini mwamuzi anapeta
11' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi
9' Fei Toto anapiga shuti linapaa juu ya lango
5' Kasi ya mchezo bado haijachanganya
Mchezo wa Ligi Kuu Bara, umeanza, Yanga wakiwa ugenini, wanakaribishwa na Namungo FC.
Yanga wamemrejesha mshambuliaji Fiston Mayele katika kikosini cha kwanza baada ya kukosekana mchezo uliopita, wakati Namungo wakifanya marekebisho machache ‘benchini’ akiwepo Pius Buswita.
Mara nyingi mmesema hivyo. Wapo hata walimuendea kwa songoma. Wakatangaza kabisa tayari tumeshika miguu. Alivyotupia tena kwa kasi wakaambiwa wamekosea masharti kwa sangomaMayele kaisha sana. Asiporudi Kongo kwenda kuchochea dawa sidhani kama ataweza kufunga goli Tena msimu huu
Nyinyi mmezuiwa kua unbeaten?Alitusaidia kupunguza kelele za anibiteni
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Uliota kinyume nyume, utakuwa mwarabu wewe.🤣🤣Namungo 2- Yanga 0.
Kama ilivyokuwa ngao ya hisani nayo ilikuwa hivyo hivyo na timu yenu ya kumtegemea mchezaji mmoja.Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Msimu Yanga mechi aliyo cheza hovyo ni moja tu na Kagera Sugar.Unaizungumzia timu hiyo ya juzi iliyo Park bus mwanzo mwisho.Ukitazama vizuri utaona kwamba kuna baadhi ya mechi Yanga huwa inashinda si kwamba siku hiyo wanakuwa Bora ILA timu wanayocheza nayo inakua hivyo hovyooo ........mchezaji hata akili ya mpira inakua ndogo .....quality ndogo , nafasi nyingi za wazi wanapoteza .......
Angalia mechi ya prison na nafasi walizopata prison ...namungo, Kagera sugar....
Ndio muwe mnatuliaInatuhusu nini sisi?
Mshapata sabab na leoNamungo badala ya kucheza kwa kuwaheshimu Yanga wanacheza kwa kuwaogopa! Wanacheza huwezi kuamini ni wachezaji wa ligi kuu! Very poor performance! Unfortunately kocha wao mkuu ndio kocha wa Taifa Stars? Shame!
Kimekuleta nini hukuNdio muwe mnatulia
Naongeza idadi ya commentKimekuleta nini huku