FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Mizumu yangu naiomba ipate magoli manne, yanga. maana nimechoka kelele za uto.
 
Kwa msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na Manula
Nyie huwa hamfungwi kihalali, mkifungwa tu yafuatayo ndo huwa sababu;
1. Msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na Manula
2. GSM anadhamini timu nyingi kwenye ligi
3. Mangungu
4. Hersi
5. Yas (NYASHI) pesa
6. Bahasha
7. Arajiga
8. Kayoko
9. Tatu
10. TFF
etc

Hamjawahi fungwa kihalali hata siku moja, lakini mnafungwa
 
Maumivu yakizidi muone daktari
 
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…