SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kwa msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na ManulaUsijitoe akili, mlihamia uwanja wa Jamuhuri Morogoro, lakini Mbangula hakuwaacha..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na ManulaUsijitoe akili, mlihamia uwanja wa Jamuhuri Morogoro, lakini Mbangula hakuwaacha..!!
Droo zisubiri kwanza. Vipigo viendelee...Mkuu apate droo ya nini? Akikaidi apigwe tuu.
Dua la kukuYanga liwakute kila baya ili mji uendelee kutulia
Wewe umempa?Kama unabeti nakushauri mpe Namungo utakuja nishukuru baadae
Nyie huwa hamfungwi kihalali, mkifungwa tu yafuatayo ndo huwa sababu;Kwa msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na Manula
Maumivu yakizidi muone daktariNyie huwa hamfungwi kihalali, mkifungwa tu yafuatayo ndo huwa sababu;
1. Msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na Manula
2. GSM anadhamini timu nyingi kwenye ligi
3. Mangungu
4. Hersi
5. Yas (NYASHI) pesa
6. Bahasha
7. Arajiga
8. Kayoko
9. Tatu
10. TFF
etc
Hamjawahi fungwa kihalali hata siku moja, lakini mnafungwa
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?Nyie huwa hamfungwi kihalali, mkifungwa tu yafuatayo ndo huwa sababu;
1. Msaada mkubwa wa maduka ya rejareja Inonga, Kennedy na Manula
2. GSM anadhamini timu nyingi kwenye ligi
3. Mangungu
4. Hersi
5. Yas (NYASHI) pesa
6. Bahasha
7. Arajiga
8. Kayoko
9. Tatu
10. TFF
etc
Hamjawahi fungwa kihalali hata siku moja, lakini mnafungwa
Kabeti kwanza kwa kumpa NamungoMaumivu yakizidi muone daktari
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?Maumivu yakizidi muone daktari
Nilimuelewa, namkumbusha tu kwamba yeye ni mwana mbumbumbu FC, mwana NGADA FC, Makolo FC,Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
😃😃😃Leo sio mkifungwa tuu,Bali mkitoa droo mjue mtalia na kusaga meno.
Mmezidi jeuri..