Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo SAYVILLE ni muongo muongo. Uzi huu Namungo FC Vs Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024 upo kabla hajaandika ujinga wake..!!Timu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
🟢🟡🟢🟡
Vete No queremos que estés aquí
dah! mkuu mnatusema sana hivi mnatuonaje..?😂Watapost tu bado wanavuta shisha
Umenikumbusha goli la PAMBA ya Mwanza ilipocheza na mbumbumbu FC..!!Bila makosa ya kibinaduma utopolo hawashindi hii match refa ashatiwa mifukoni wana utopolo ondoe shaka leo mtapata ushindi japo malalamiko baada ya ushindi yatakuepo ila ndio hivo mshashinda kwa kubebwa
Watakachofanyiwa mashabiki wa Yanga leo
Usijitoe akili, mlihamia uwanja wa Jamuhuri Morogoro, lakini Mbangula hakuwaacha..!!Walianza kuhama uwanja, baadae wakahama majukwqa lakini Sasa wamesusa hata kuanzisha Uzi.
Wataibuka walipata goli la kupngoza vinginevyo hawataonekana..
Leo ni mwendo wa makosa ya kibinaduma na goal zitakua 3Wewe kweli ni shabiki wa yanga!!
na nikupe moyo refa wa leo ni hersi
Kina Labani og redio wamechoka na vipigoWatu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.
Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.
Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.
Timu kufungwa mfululizo.hiyo mada inahusiana nini na simba
SawaPoa tumpe DIVISHENI FOO ashike.